Pages

Pages

Monday, 12 January 2015

DROPBOX



Seminar Presentation
Group no. 8
IT   2101
questions
What is the dropbox?
What are uses of dropbox?
What are the importances of dropbox?
Work load matrix
What is Dropbox?
"One place for all your stuff, wherever you are."
Dropbox is a home for all your photos, docs, videos, and files. Anything you add to Dropbox will automatically show up on all your computers, phones and even the Dropbox website, so you can access your stuff from anywhere.
CONT.....
Any file you save to your Dropbox will also automatically save to all your computers, phones, and even the Dropbox website.
 This means that you can start working on your computer at school or the office, and finish on your home computer.
The Dropbox Folder
After you install Dropbox on your computer, a Dropbox folder is created.
This folder is just like any other folder on your computer, but with a twist.
Adding files to your Dropbox
Drag and drop a file into your Dropbox folder.
Green circle and check: All the files in your Dropbox are up to date.
That’s it! The green icon means that your file has finished saving to your other computers and the Dropbox website.
Blue circle and arrows: Files in your Dropbox are currently being updated.
The blue icon means your files syncing with Dropbox.
Now that your files in Dropbox, any changes made to it will be automatically detected and updated to your other computers.
CONT...
What Is Dropbox Functionality?
Storing files of any type. Dropbox can store video, audio, clip-art, documents, photos etc.
Syncing stored files across all your devices. Dropbox synchronizes( causes to occur or operate at the same time or rate) any file you edit with all your devices. Be sure: you’ll find your file the way you left it on any of your devices.
Providing revision history. The service saves all editions and allows recovering a deleted file.
Sharing files with others. Send a link to any of your files or share a whole folder with other users.
IMPORTANCE OF DROPBOX
It’s is an easy way to store and share photos, documents, spreadsheets, and other types of computer files, tablet, or mobile device.
Even if your computer has a meltdown or your phone goes for a swim, your stuff is always safe in Dropbox.
Dropbox lets you to undo mistakes and even undelete (restore) files you accidentally trash.
        

Monday, 5 January 2015

Historia ya Fasihi ya Kiswahili ina uhusiano gani na historia ya lugha yaKiswahili?



Kwa mujibu wa Eagleton (1983: 1 – 8) Fasihi ni tokeo la masimulizi ya lugha kwa  njia isiyo ya kawaida ili kuleta athari maalum.
 Fasihi ni sanaa ya lugha  yenye ubunifu inayojaribu kusawiri vipengele vya maisha, na mahusiano na hisia za watu katika muktadha fulani (Mulokozi, 1996).
 kwa mujibu wa Mazingwe 1991:18 & Siyambo na Mazrui (1992) wanasema kwamba fasihi ya Kiswahili ni  fasihi yote inayoelezwa kwa lugha ya Kiswahili hivyo, wataalamu mbali mbali wameonesha kuwa kuna aina mbili za fasihi ya Kiswahili nazo ni : Fasihi simulizi na fasihi Andishi.
 Vile vile lugha ya Kiswahili asili yake ni upwa wa Afrika mashariki inayozungumzwa zaidi na waswahili, yenye utamaduni wake wa Kiswahili na pia iliyosanifiwa kutokana na mchanganyiko na lahaja.
 Baada ya kuangalia maana ya fasihi na lugha ya Kiswahili tunaangalia mswahili ni nani? Hii ni kwa sababu ikiwa lugha  ya Kiswahili ipo  bila shaka  waswahili  pia wapo, haiwezekani kabisa kuwepo kwa  lugha ya Kiswahili bila ya kuwepo waswahili .
      Mswahili ni mtu yeyote ambaye anaishi mwambao wa Afrika mashariki na visiwa vyake, anayezungumza Kiswahili ikiwa ni lugha yake ya kwanza, aidha mswahili ni mtu aliyetokana  na jamii ya watu wa mwambao wa afrika Mashariki na kuendeleza utamaduni wa mswahili, hii ikiwa ni pamoja na kucngumza lugha fasaha.
Kutokana  na maelezo hayo ni dhahiri kwamba, madai ya baadhi ya watu kuwa hakuna waswahili hayakubaliki. Pia historia ya lugha ya Kiswahili inaendelea kueleza kuwa waswahili wapo na walikuwepo tangu karne nyingi, walijiita kwa majina mbali mbali mfano waamu, Wapate, Wamvita, Wapemba, Waunguja n.k. Hata hivyo waliunganishwa kwa lguha  moja na utamaduni mmoja. Wataalamu wanaendeleza kueleza kuwa waswahili walikuwepo tangu karne nyingi na wapo hadi sasa wana lugha yao ya Kiswahili na bila shaka wanayo fasihi yao ya Kiswahili.
Fasihi ya Kiswahili ilikuwepo tangu kuwepo kwa mswahili. Aidha baadhi ya fasihi ya mwanzo  kabisa  ni pamoja na utenzi wa Fumo Lyongo na nyimbo mbali mbali za shughuli za kijamii ambazo ziliimbwa kwenye sherehe, harusi, jando na unyago au katika shughuli za kiuchumi kama vile shughuli za kilimo na uvuvi.
Wataalamu wanaendelea kueleza kuwa waswahili ni wenyeji wa mwambao wa kaskazini kuanzia Barawa (Somalia) hadi Tanga, wenyeji wa mwambao wa kusini na visiwa vyake.
Kuenea kwa lugha ya Kiswahili katika sehemu nyingi za Afrika Mashariki kumeifanya lugha hiyo iwe chombo cha fasihi ya watu wote wanaoitumia, hivyo basi fasihi ya Kiswahili na lugha ya Kiswahili vilikuwepo na  vilitumika kwa karne nyingi zilizopita hadi sasa. Fasihi hiyo ndio tutakayoita Fasihi ya Kiswahili (Siyambo na Mazrui – 1992).
Kutokana na maelezo hayo ni dhahiri kuwa fasihi ya Kiswahili ilikuwepo tangu kuwepo kwa lugha ya Kiswahili na hii inaonesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili ni kama ufuatao
           Kwanza, historia ya fasihi ya kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili chimbuko lake ni  upwa wa Afrika Mashariki. Historia inaonesha kuwa fasihi ya Kiswahili chimbuko lake ni upwa wa Afrika Mashairki hii ni kutokana kuwa hapo awali jamii  kama Wangoni, Waamu, Wapate, jamii hizi zilipatikana katika Upwa wa Afrika mashariki ambapo hawakufahamu jinsi ya kuandika fasihi katika maandishi, kwa sababu zilikuwepo fasihi zao za jadi katika mapokezi (yaani fasihi simulizi), hivyo walipowasili Waarabu ndipo walipoanza kuandika fasihi zao katika maandishi. Na kutokana na ushahidi huo inaonesha kuwa fasihi ya Kiswahili ilikuwepo tangu zamani kabla ya kuja kwa wageni mfano wa fasihi hizo ni utenzi wa FumoLyongo, mashairi ya Inkishafi nakadhalika. mfano wa utenzi wa Fumolyongo ni:-
                        Liyongo kitamkali,
                        Akabalighi rijali,
                        Akawa mtu wa kweli,
                        Na haiba huongea.
Kwa upande wa historia ya lugha ya Kiswahili  tunaona pia chimbuko lake ni Upwa wa Afrika Mashariki, na haikuletwa, na  wageni  kama nadharia nyengine zinavyodai isipokuwa inasemekana waliunganisha lugha  ambazo zilikuwepo na  kuziita jina moja tu nalo ni Kiswahili. Hii ni kutokana  na ushahidi mbali mbali unaoonesha kuwa lugha ya Kiswahili ilikuwepo tangu zamani na ilikuwa ikizungumzwa na jamii mbali mbali za  Afrika Mashariki mfano Wapate, Wangoni na Waamu, kama ni jamii za awali zilizozungumza Kiswahili. Hivyo kutokana na jamii hizo ushahidi kama wa tenzi mbali mbali zilizopatikana ambazo zinaonesha kuwa kweli Kiswahili kilikuwepo. Hivyo kutokana  na ushahidi huo ni kweli kuwa upo uhusiano kati ya historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili.Kwa hiyo tunaona kuwa historia ya fasihi ya Kiswahili ndio iliotumika kama ushahidi wa kuthibitisha kuwa kweli lugha ya Kiswahili chimbuko lake ni upwa wa Afrika mashariki, kama wataalamu mbali mbali walivyothibitisha kutokana na ushahidi madhubuti kama wa fumoliyongo.
        Vile vile uhusiano mwengine ni kuathiriwa kwa kiasi kikubwa na waarabu  pamoja na Uislamu. Hii ni kutokana na historia ya fasihi ya Kiswahili katika sehemu ambazo zilichimbuka fasihi ya Kiswahili kama jamii za wapate, wangoni, Waamu, hawa hawakuweza kuandika fasihi  katika maandishi na hivyo  katika mwaka 1670 waarabu walipofika katika Upwa wa Afrika Mashariki walianza kuandika katika maandishi na inaaminika kuwa miongoni mwa maandishi ya mwanzo ni utenzi wa Hamziyya ambao uliandikwa mwaka 1670, ambao ulikuwa ni wa kidini. Hamziyya unahusu maisha ya Mtume Muhammad (S.A.W) mfano:-
                        “Akusudia, Mustwafa kwenda Madina
                        Makka jina lake, zikaleta kushukuru mema”
Pia utenzi wa Tambuka ambao umezungumzia juu ya vita vikali vya Uislamu wa mwanzo wa mfalme Herekali wa Dola ya Warumi (Mulokozi, 1996). Mfano wa beti ya utenzi wa Tambuka.
                        “Bismilahi kutubu
                        Jina la Mola wahabbu
                        Arra  Amani eribu
                        Na arraimu ukyowa”
 Pamoja na utenzi wa al- Inkishafi na utenzi wa Mwanakupona (Mulokozi 1999). Mfano wa beti ya utenzi wa Mwanakupona unaozungumzia dini ya kiislamu.
                        “La kwanda kamata dini
                        Faradhi usiikhini
                        Na sunna ikimkini
                         Ni wajibu kuitia……(ubeti 12
Vile vile, tenzi ambazo zinazungumzia uislamu ziliendelea hadi wakati wa Muyaka bin Haji (1770 – 1840) na pia yeye ndie aliyebadilisha mtindo  huu wa kidini na akaanzisha wake ulikuwa unazungumzia mambo mengine tofauti (na kama inavyosemekana yeye ndiye alioutoa ushairi msikitini na kuupeleka sokoni).

            Katika historia ya lugha ya Kiswahili pia imeathiriwa na waarabu na pamoja na uislamu. Kwani historia ya lugha inaonesha kuwa waarabu ndio walioanzisha maandishi ya Kiswahili kwa hati za kiarabu pamoja  na utamaduni wa mswahili  na ustaarabu wao unaohusishwa na uislamu. Kutokana na mchanganyiko mkubwa uliokuwepo baina ya  waswahili na waarabu katika utamaduni wao ni dhahiri kuwa fasihi zao zilikuwa zinazungumzia uisilamu kwa sababu  hizo ni dhahiri kwamba historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili  zina uhusiano mkubwa kutokana na utamaduni wa Kiswahili uliodhihirishwa na waarabu na uislamu ndio uliopelekea fasihi hizo za awali kuzungumzia zaidi mambo ya uislamu. Hivyo  kutokana na historia ya fasihi ya Kiswahili  kuathiriwa na uislamu, ndio iliyopelekea kuwa fasihi za awali za Kiswahili kuzungumzia zaidi masuala ya dini ya kiislamu na kupelekea katika utamaduni wa lugha ya Kiswahili na waswahili kuwa ni wa kiislamu.

            Uhusiano mwengine kati ya historia ya lugha ya Kiswahili na historia ya fasihi ya kiswahili ni kukua na  kuimarika zaidi katika maeneo mengi ambayo kihistoria yalikaliwa sana na wageni  ukilinganisha na maeneo ambayo hayakukaliwa sana na wageni. mfano wa maeneo ambayo yalikaliwa sana  na wageni ni Pate, Lamu, Mombasa, Zanzibari na Tanga (Samuel na wenzake 2013) .Katika maeneo hayo kulitokea watu mbali mbali wenye vipawa vikubwa katika kazi nyingi za fasihi na kupata umaarufu mkubwa  sana kote Afrika Mashariki na dunia kwa ujumla, mfano:-

            Pate, walitoka washairi maarufu kama vile Sayyid Abdalla bin Nassir Mwanakupona binti Msham, Nabhani, Fumoliyongo, Ali Athumani Koti, Mohammed bin Sheikh Malaka.
Mombasa – Ahmeid Nassor bin Bhalo .
Lamu – Muhamed Abubakar Kijumwa, Ahmeid Sheikh Nabhan, Zahid bin Mngumi, Tanga – Hemed bin Abdalla Albuhri, Ghulam Mabondo bin Mwinyimatano, Swaleh Kibwana na Shaaban Robert.
Zanzibar – Siti binti Saadi, Yahya Burhan, Said A. Mohammed na Shafi Adam Safi. Historia hii na mahala wanapotoka wanafasihi hawa imeelezwa na Mulokozi na Sengo 1995.

            Pia, historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili zimeibuka kupitia masimulizi. Historia ya fasihi ya Kiswahili ilizuka kwa masimulizi ambayo yalikuwa yakitumia lugha ya mazungumzo ndipo zikaibuka hadithi fupi fupi.
Kwa  mujibu wa Holman (1992) anasema kwamba hadithi fupi ni masimulizi mafupi ya kubuni katika mtindo wa nathari. Baadhi ya fani ambazo ziliathiri kuchipuka kwa hadithi fupi ni ngano, hekaya, rara, utendi na riwaya chuku.
Katika historia ya lugha ya Kiswahili kuna ithibati ya kutumika Kiswahili kabla ya kuja kwa wageni, kuna ushahidi wa kimasimulizi ambapo wenyeji waliweza kusimulia. Mfano wa masimulizi hayo ni kisa cha Anzaruni kilichoandikwa na binti Lemba (1663),  siri al – as – rar iliyoandikwa na Kadhi Kassim bin Jaffar, pia wakati wa ukoloni kulikuwa na hadithi za Wayunani(1889), Mchawi(1900), H.R Haggad na safari za wasafiri (1925). iliyoandikwa Bunjan.
            Hivyo basi uhusiano baina ya historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili ziliibuka kupitia masimulizi. Mfano:- tendi, rara, hekaya riwaya chuku ambazo walikuwa wakizisimulia,
            Pia,  uhusiano mwengine uliojitokeza  ni kwa kukua kwa matumizi ya lugha. Lugha imeanza mara tu, mwanaadamu alipoanza kuyakabili mazingira yake katika nyanja za kiuchumi na  kijamii. Hicyo watu walikuwa wakiitumia lugha katika shughuli mbali mbali. Kwa minajili hiyo tunaweza kusema kwamba historia ya lugha ya Kiswahili ndio iliyopelekea kuibuka kwa fasihi ya Kiswahili. Mfano kupitia katika jamii walikuwa wakitumia nyimbo kama vile wimbo wa “Nabhan” mfano.
                        “Ndiwa wangu,                       Sindiwa wa mabaoni.
                        Ndiwa wangu,                        Ni mweupe wa Launi.
                        Ndiwa wangu             Ushabihi wa peponi.”
Kwa upande wa kiuchumi kulikuwa na  wimbo wa “WAWE”

Wawe – Ni utungo ambao huimbwa kwa kujitayarisha na shughuli za kilimo mfano wa beti wa ushairi ni:-
                        “N’kasiye, N’kalima ,                         N’kavuna.
                        Masika yenye makame,           Chini yaliyojificha.
            N’kafyeka, N’kachoma,          moto ukajirimbika”.
            Hivyo,  tunaona wazi kwamba historia ya fasihi ya Kiswahili inaonekena zilizuka kupitia nyanja mbali mbali za kiuchumi na kijamii ndipo tunapopata  uhusiano mkubwa baina ya historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili.

            Hata hivyo, uhusiano uliopo baina ya historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya Kiswahili ni kwamba zote ni fasihi ambazo huonesha sehemu ya utamaduni wa jamii kama vile historia  ya lugha ilivyo sehemu ya utamaduni yenye kueleza au kuitazamia jamii kiutamaduni, kiuchumi, kiufundi na kisiasa vile vile uhusiano huu  huwa ni darubini ya kuitazama mfumo wa maisha ya jamii yoyote ikiwa ni ya kikabila au ya  kibepari au ya kijamii.

Kwa kuhitimisha suali letu, tunaweza kusema kuwa historia ya fasihi ya Kiswahili na historia ya lugha ya kiswahili zina uhusiano mkubwa na kwamba dhana mbili hizi haziwezi kutenganishwa kutokana na ukweli kwamba zinategemeana kwa kila hali, zinajengana na kuathiriana sana . Kuwepo kwa  dhana moja kulipelekea kujitokeza kwa dhana nyengine. Hivyo ndio kusema kwamba ,ni rahisi kuisoma na kuielewa historia ya fasihi ya Kiswahili iwapo tutaisoma na kuielewa historia ya lugha ya Kiswahili kama vile ambavyo ni rahisi kuisoma na kuielewa historia ya lugha ya Kiswahili iwapo tutaisoma na kuielewa historia ya fasihi ya Kiswahili.











MAREJEO
Samwel ,M & Seleman A,J &Kabiero A,J(2013) Ushairi wa Kiswahili :Nadharia  ,mwongozo kwa walimu wa Kiswahili na diwani MEA, DSM .MVP
                                                                                                                        
TUKI(1983) Makala za seminar za kimataifa ya waandishi wa Kiswahili 111-Fasihi, DSM:DUP

Mulokozi,M,M(1999) Taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili Dar-es-Salaam :chuo kikuu cha Dar-es- Salaam

Mulokozi ,M,M (19 96)utangulizi wa Fasihi ya Kiswahili Dar-es-Salaam:Tuki

Maganga,C(1997) Historia ya Kiswahili ,Dar-es-Salaam:Chuo kikuu huria cha Tanzania





Tuesday, 30 December 2014

PEACE, CONFLICT AND DEVELOPMENT


Image result for CONFLICTS IMAGES
CONFLICT
PEACE, CONFLICT AND DEVELOPMENT
With vivid examples briefly explain each of the following concepts:
a: peace                         
b: conflict
c: development.
d : conflict management
e : conflict resolution     
f :conflict cost
g: conflict peak                 
h:conflict decay 
OBJECTIVES.
    At the end of the presentation students should be able to :
a). Explain the concepts about the key term concerned with conflict.
b). Provide vivid example concerned with the concepts.
1.Peace is a state of balance and understanding in yourself and between others where respect is gained by acceptance of differences and tolerance persists. (Stewart, 2003).
Good example, we actual see that after election result in Zanzibar there is a conflict between the parties 
 


}Continue….
   and peoples die this was before 2010. in 2010 this condition seen to be different in which the peace take place instead of conflict this is due to  the accord (Muafaka) between the top leaders of the parties including Dr. Aman A. A. Karume of CCM and mwalimu  Seif Sharif Hamad of CUF who made agreement of having GNU.
}Continue…
2.Conflict : There are different definition given by different scholars but in a very brief conflict can be defined as the state of discord caused by the actual or perceive opposition of need , value and interest (Stewart, 2003) .
In this regard conflict , a conflict can be internal (within one self) or external (between two or more individual ). In the following four scenarios of conflict relation parties:
a) Conflict within individual ( Intrapersonal conflict)
People himself or herself can reach a state of conflict caused by the failing of prioritizing one important issue to one self among more than one alternatives an individual has.
b) Conflict between individual ( Interpersonal conflict ) .
In our diverse society the possibility of differences leading to conflict between individuals is always there.
}Continue…
C ) Conflict between a group of people ( intra group conflict).
Even within one organization or team , conflict can be arise from the individual differences or ambition mentioned earlier or from opposition between sub group or factious .
d) Conflict between group of people (intergroup conflict) .
This happens in the field of sport , culture, religion and the work place and can some times change from healthy competition to destructive conflict.
}Continue…
A common example of conflict in our country includes a present or on going constitutional conflict concerning to two government or three government to operate in Tanzania .
3 .Development is a process directed at outcome encapsulating (summarizing) improved standards of living and greater capacity for self- reliance in economics that are technically more complex and more dependent on global integration than before.(Kingsbury et al.,2004).
Development depend on different issue like  economic, politically, socially and culturally .On now day development depend on  technological advance, a common example of development  in our country  in the sector  of education is the development that take place on the building several university .There are five university and various colleges that provide different field.

4. Conflict management it has been defined by American Management Association ( AMA) as recognizing the potential value of conflict for driving change and innovation. This means knowing when to confront and when to avoid a conflict and understanding the issue around which conflict resolve.
Conflict management is the process of limiting the negative aspects of conflict while increasing the positive aspects of conflict. (Rahin, 2002.pg 208)
Example:
As a result of the Muafaka II Accord, observer groups to the 2005 elections noted the improved circumstances under which the elections took place, although most groups noted that the 2005 polls were by no means completely satisfactory, with considerable room for improvement. However, the implementation of the Muafaka II Accord and the oversight of the JPSC increased the confidence of the CUF in the legitimacy of the process, and although incidences of violence were noted.
5. Conflict resolution is a way for two or more    parties to find a peacefully solution to disagreement among them. The disagreement may be personal, financial, political or emotional. ( Mpangala & Jonathan 2005).
 A good example based on political competition under conditions of economic backwardness and poverty tends to lead to conflict. Zanzibar therefore needs rapid socio-economic development with a reasonable balance between Unguja and Pemba. Problems related to the Union should be discussed and solved.
}Continue…
}The Union should facilitate elections in Zanzibar without any form of bias or favouritism.
}
}
}6.Conflict cost is a tool which attempt to calculate the price of conflict to the human race. The idea is to examine this cost not only in term of the death and casualties and economic costs born by the people involve but also the social, developmental, political and environmental. ( Michael Cranna, 1994).     
Example:
The 27th January 2001 demonstration of Zanzibar that held by the CUF that cause many people to injured and other lost their life.
Also the doctors boycott in Tanzania mainland to get salary. In this conflict the doctors did not appear in their workplace which cause many deaths.
Also the boycott of Zanzibar students in 1996 cost many student to loose their time to study and led them to fail.
 
7. Conflict Peak : This is the state of conflict where by it reached at its maximum point. It is usually in this state where the conflict is nearly to war. It is the stage of conflict in which both parties are ready or willing to fight from each other to satisfy its need : The following example can clarify this meaning , during the result of the election on 2005 the member of CUF decide to around outside of the Bwawani Hotel , they were very angry and want to know the truth of the result , among them they are said that they are ready for every thing whether to die or be injured but we are waiting for the truth.  
Continue…
8. Conflict decay is the stage of conflict where by it has resolved or not resolved but it shows to decrease (Stewart, 2003).
Conflict decay can occur in the following three situations or environments:
a)Resolved by someone.
b) Disappearance of the conflict issue.
c) Fear or feeling of failure/ breakdown or letdown one part of the conflict.

Example of conflict resolved by someone.
Farmer and pastoralist in Kilosa resolved by Regional commissioner.
Disappearance of conflict issue.
The conflict between two wives on husband. When husband died the conflict collapse.
Fear or feeling of failure.
Conflict of gas in Mtwara, between Mtwara natives and government.

REFERENCES
Kingbury, D.,Remenyi, J., Mckay, J. & Hunt, J. (20040). Key issues in development. Newyork: Palgrave Macmillan. Algert, N.E. (1996). “Conflict in the workplace” in Proceedings: Women in Engineering Advocates Network, Denver, CO.,123.,123 – 127.
Kingbury, D.,Remenyi, J., Mckay, J. & Hunt, J. (2004). Key issues in development. Newyork: Palgrave Macmillan.
Museveni, Y.(1998). “Opening Address by H.E Yoweri Kaguta Museveni, President of the republic of Uganda at the conflict Resolution in Africa Workshop.
Stewart, E.(2003). Conflict Prevention: consensus or Confusion? Journal of Peace, Conflict and Development 3:2 – 17.